January 21, 2014



 
RAMANI YA CAMP NOU ILIYOKARABATIWA
Bodi ya Wakurugenzi ya Barcelona, imeufuta mpango wa kujenga uwanja mpya na badala yake umeafika kuufanyia marekebisho Uwanja wa Cam Nou kuwa mkubwa na wa kisasa zaidi.
 
Wakurugenzi hao wameipitisha propozo ya kuuongeza uwanja huo kutoka kuwa na uwezo wa kubeba watu 98,000 hadi 105,000.
 
CAMP NOU YA SASA
Imeelezwa pauni milioni 495 zitatumika katika shughuli hiyo ambayo pamoja na kuuongeza uwanja huo kutakuwa na sehemu ya paa litakaloziba mzunguko wote we uwanja na kuacha sehemu ndogo tu ya katikati ya uwanja.
 
CAM NOU MPYA KWA NJE
Rais wa Barcelona, Sandro Rosell amesema kufanya yote hayo ni lengo la kuongeza kipato zaidi kutokana na mapato yanayotokana na watazamaji.
CAMP NOU YA SASA KWA NJE

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic