January 21, 2014





Manchester United imeambiwa itoe pauni milioni 40 kama ina nia ya kweli kumnasa kiungo nyota wa Chelsea, Juan Mata.


Kocha wa Chelsea, Jose Mourinho naye amesema milango iko wazi kwa Mata kama anataka kuondoka.


Mourinho ameonyesha imani kubwa kwa William, Oscar na Eden Hazard kuliko Mata.
Mata naye amekuwa akihofia kukosa nafasi katika kikosi cha Hispania kitakachoshiriki Kombe la Dunia kama ataendelea kubaki Chelsea.

Kwa upande wa Kocha wa Man United, David Moyes, ameonyesha ana nia ya kumpata kiungo huyo mwenye uwezo mkubwa wa kutengeneza nafasi.

Hapa chini ni namna Mata anavyoweza kutengeneza nafasi nyingi zaidi ya wachezaji karibu wote wa Man United.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic