February 2, 2014




Pamoja na Yanga kuvunja rekodi na kuichapa Mbeya City kwa bao 1-0, imeshindwa kurejea kileleni maana Azam FC imezidi kung’ang’ania.


Azam FC nayo imeshinda mechi yake ya leo kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi kwa kuichapa Kagera Sugar mabao 4-0.

Kutokana na ushindi ushindi huo, Azam FC imeendelea kubaki kileleni ikiwa na pointi 36 huku Yanga ikifikisha 35.

Mabao ya Azam FC leo yamefungwa na Mganda, Bryan Umonyi mawili, Kelvin Friday na Jabir Aziz 'Stima'.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic