February 17, 2014

NGASSA NA NIYO


 Kikosi cha mabingwa wa soka Tanzania, Yanga kimewasili leo mchana kikitokea Comoro ambako kimeibutua Komorozine mabao 5-2.


Kikosi hicho kilitua Uwanjana wa ndege wa JNIA Saa 8 na nusu na kufanikiwa kumaliza ukaguzi uwanjani hapo saa moja baadaye na wachezaji walianza kutoka uwanjani hapo kuingia kwenye basi lao.

Mrisho Ngassa aliyepiga hat trick alikuwa mmoja wa wachezaji waliokuwa kwenye kikosi cha Yanga kilichotua nchini.

Yanga sasa itawavaa mabingwa wa Afrika, Al Ahly katika mechi inayotarajiwa kupigwa Machi Mosi jijini Dar.
MSUVA NA DIDA

KOCHA VAN DER PLUIJM

SEIF MAGARI ALIKUWEPO KUWAPOKEA VIJANA WAKE

BARTHEZ NA JOSHUA
DIDA, MSUVA NA DK SUFIANI

LUHENDE NA NIYO



TWITE NA JUMA ABDUL


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic