February 17, 2014


Kocha wa zamani wa Azam FC, Stewart Hall leo alimsimamisha kiungo wa Yanga, Athumani Idd ‘Chuji’ na kupiga naye stori kiana.


Hall alizungumza na Chuji ambaye ndiyo alikuwa amewasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere akitokea Comoro pamoja na wachezaji wengine wa Yanga.
Hall aliwasalimia asilimia kubwa ya wachezaji wa Yanga, lakini baada ya hapo akaendelea kupiga stori na Chuji.


Baada ya mazungumzo mafupi, Hall alimuachia Chuji ajiunge na wenzake ambao walikuwa wametangulia kwenye basi la Yanga lililokuwa uwanjani hapo kwa ajili ya kuwapokea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic