February 19, 2014


Barcelona imemaliza ubishi kwa waliokuwa wanasema imekwisha, kwa kuichapa Manchester City kwa mabao 2-0 nyumbani kwao Etihad.


Katika mechi hiyo ya Ligi ya Mabingwa Ulaya iliyomalizika hivi punde, mabao ya Barca yalifungwa na Lionel Messi kwa mkwaju wa penalti baada ya kuangushwa na kipindi cha pili mwisho, Dani Alves akafunga la pili kwa kumpiga ‘tobo’ kipa wa Man City.
Vikosi:
Man City: Hart, Zabaleta, Kompany, Demichelis, Clichy, Jesus Navas, Fernandinho, Toure, Kolarov, Silva, Negredo. Subs: Pantilimon, Richards, Lescott, Nasri, Dzeko, Javi Garcia, Jovetic.
Barcelona: Valdes, Dani Alves, Pique, Mascherano, Jordi Alba, Xavi, Busquets, Fabregas, Alexis, Messi, Iniesta. Subs: Pinto, Pedro, Neymar, Bartra, Song, Adriano, Sergi Roberto.
Referee: Jonas Eriksson (Sweden).










0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic