February 19, 2014


Zlatan Ibrahimovic amefunga mabao mawili wakati PSG ikiilipua Bayer Leverkusen kwa mabao 4-0 katika mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwao Ujerumani.


Mabao mengine ya PSG yamefungwa na na Blaise Matuidi na Yohan Cabaye aliyejiunga na timu hiyo akitokea Newcastle, msimu huu.


Vikosi:
Bayer Leverkusen: Leno, Hilbert, Spahic, Toprak, Guardado, Bender, Rolfes, Castro, Sam, Kiessling, Son. Subs: Yelldell, Reinartz, Wollscheid, Hegeler, Oztunali, Boenisch, Brandt.
PSG: Sirigu, Van Der Wiel, Alex, Thiago Silva, Maxwell, Verratti, Thiago Motta, Matuidi, Lucas Moura, Ibrahimovic, Lavezzi. Subs: Douchez, Cabaye, Marquinhos, Menez, Digne, Rabiot, Pastore.
Referee: Viktor Kassai (Hungary)


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic