February 13, 2014


Uongozi wa klabu ya Lazio ya Italia umelazimika kutoa maelekezo kuhusiana na mchezaji wake wa timu ya vijana kwamba umri wake ni mdogo.


Minara anayetambulika kuwa na umri ya miaka 17, amezua gumzo huku wengi wakipinga kutokana na muonekano wake.
Gazeti moja la Senegal, limesema raia huyo wa Cameroon mwenye jina halisi la Joseph Marie Minala ana miaka 41 na si 17 kama inavyoelezwa, hali iliyosababisha kutolewa kwa ufafanuzi huo.

Imeelezwa kweli Minara ana miaka 17 lakini alikulia katika mazingira magumu na kusababisha vurugu.
Hali hiyo imesababisha Minara afute akaunti zake katika mitandao ya kijamii ya Facebook na Instagram na kubaki na Twitter tu.












0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic