February 13, 2014



Inter Milan imesema iko tayari kumtwaa beki wa kushoto wa Man United, Patrice Evra ikiwa ni siku moja baada ya kumuona akicheza mechi dhidi ya Arsenal, jana Jumatano.


Hata hivyo timu hiyo kongwe ya Italia haijatangaza iko tayari kumtwaa Evra kwa kiasi gani ingawa inaonekana ndiyo dalili ya kuondoka United.

Upande mwingine, jirani zao Kenya wako tayari kumtwaa kiungo Mkenta, VictoR Wanyama kutoka Southampton ingawa kila kitu bado hakijawekwa wazi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic