Kocha Mkuu wa Simba, Zdravko Logarusic
amesema jana ulikuwa wakati mgumu sana katika maisha yake nchini Tanzania.
Simba ilikutana na kipigo cha mabao 3-2
kutoka kwa JKT Ruvu katika mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kwenye Uwanja wa
Taifa, jana.
Logarusic alisema hakutegemea kuona
kikosi chake kinapoteza mchezo huo ambao walikuwa na asilimia nyingi za
kushinda.
“Nimeshindwa kuwa katika hali yangu ya
kawaida, kilikuwa kipindi kigumu zaidi,” alisema.
Lakini alisisitiza wao kupoteza mchezo
kulitokana na na makosa ya watu binafsi na kutofuata maelekezo.
Mhakika ulikuwa mchezo lahisi na huenda
wako walidharau lakini makosa ya kibibadamu kwa mtu mmojammoja yalichangia.
0 COMMENTS:
Post a Comment