February 11, 2014


Nani alikuwa vibaka wa power window wanaokera watu hasa hapa nchini wako jijini Dar tu. Sikiliza hii kutoka nchini Ujerumani.


Vibaka wamemliza mshambuliaji nyota wa Dortmund, Robert Lewandowski baada ya kubeba tairi nne za gari lake.

Taarifa za kuondoka kwake kwamba anatarajia kujiunga na wapinzani wao wakubwa, Bayern Munich zimeonyesha kuhusishwa na sasa atalazimika kuingia hasara ya pauni 7,000 ili kuweka mambo sawa.


Gari hilo la kifahari aina ya Porsche Cayenne GTS lilikutwa juu ya matofali baada ya vibaka hao ‘kutembea’ na tairi zote nne na ‘rim’ zake.

Angeweza kulipa pauni 2,000 kurekebisha mambo, lakini vibaka wameharibu sehemu ya chini ya gari hilo, ndiyo maana analazimika kulipa zaidi hadi pauni 7,000.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic