April 9, 2014


Mechi ya Azam FC dhidi ya Ruvu Shooting iliyokuwa ilikuwa ichezwe leo kwenye Uwanja wa Mabatini mjini Mlandizi, imeahirishwa.

Mechi hiyo imeahirishwa kutokana na mvua kubwa iliyonyesha katika eneo hilo.

Taarifa kutoka Kamati ya Ligi zinaeleza kuwa mvua kubwa na upepo zimesababishwa kuahirishwa kwa mechi hiyo.

Bado haijaelezwa kama itachezwa kesho au itapangiwa siku nyingine.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic