July 27, 2014



Mshambuliaji nyota wa Yanga, Mrisho Ngassa amesemaTaifa Stars ina kazi kubwa dhidi ya Msumbiji lakini akaonyesha kujiamini na kuwaamini wenzake.
Lakini Ngassa ambaye ni kati ya washambuliaji tegemeo wa akasema watapambana hadi mwisho.
“Itakua kazi ngumu wakati tunarudiana na Msumbiji kwa kuwa mechi ya kwanza imeisha kwa sare.
“Lakini tutapambana hadi mwisho, tunaamini tutasonga mbele, tuungeni mkono,” alisema Ngassa.
Stars inarudiana na Mambaz wakiwa kwao Maputo katika mechi itakayopigwa wiki ijayo kuwania kucheza hatua ya makundi kutafuta nafasi ya kucheza Kombe la Mataifa Afrika.
Mechi ya kwanza ilimalizika kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic