Kocha Carlo Ancelotti atapata nafasi moja tu ya mechi ya kirafiki kabla
ya kuanza kwa ligi.
Mmoja wao ni kipa mpya Keylor Navas na kiungo mkongwe Xabi Alonso.
Baada ya hapo, Madrid itakutana na wapinzani wake wakubwa, Atletico
Madrid katika mechi ya Super Cup ya Hispania.
0 COMMENTS:
Post a Comment