Kocha Arsene Wenger amesema msimu wa Ligi Kuu England unaoanza leo, umeanza mapema sana.
Kocha huyo Mfaransa amesema pamoja na Arsenal, anaamini timu nyingine za Premier League hazijawa tayari.
Arsenal inaanza msimu huo leo kwa kukipiga na Crystal Palace katika mechi itakayochezwa saa 1:30 usiku, kwenye Uwanja wa Emirates.
0 COMMENTS:
Post a Comment