Tayari Kocha Mkuu wa Simba, Patrick Phiri
ameungana na kikosi chake mjini Zanzibar.
Lakini leo, kocha huyo wa zamani wa timu ya
taifa ya Zambia ameungana na vijana wake na kuanza kazi.
Phiri alikuwa ameifundisha Simba mara moja tu
jijini Dar, mara tu baada ya kusaini mkataba.
“Tayari kocha tuko naye hapa, anaendelea
vizuri na kila mtu yuko poa na tumeanza mazoezi,” alisema Matola.
0 COMMENTS:
Post a Comment