September 17, 2014


Kiungo nyota wa Newcastle, Jonas Gutierrez ameamua kuweka wazi kwamba anapambana na ugonjwa wa kansa unaomtafuna.


Gutierrez amesema alijua anasumbuliwa na ugonjwa huo baada ya kugongwa na beki Bacary Sagna wakati akiwa Arsenal.

Wakati anachukuliwa vipimo ikajulikana kuwa anasumbuliwa na kansa.
Alipofanya mahohiano na runinga ya TyC ya kwao Argentina, kiungo huyo alieleza wazi kuhusiana na hilo.
Kutokana na kuumwa huko, kulisababisha Gutierrez kusikia maumivu makali ya mara kwa mara na baadaye akatolewa kende lake moja.
Gutierrez  ana uwezo wa kucheza kama kiungo au beki wa kushoto.
Hali yake hiyo imewaikitosha watu wengi sana hasa baada ya kusikia ni mgonjwa.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic