October 22, 2014


 Siku moja tu baada ya kuichapa AS Roma ya Italia kwa mabao 7-1 kwenye mechi ya Ligi ya Mabingwa Ulaya, kikosi cha Bayern Munich kimetua nyumbani kwa Papa Francis na kumpa “hi”.


Kikosi hicho kikiongozwa na benchi la ufundi paoja na nahodha Phillip Lahm, kilikabidhi jezi ya Bayern iliyosainiwa pamoja na mpira.
Wakali hao walitembelea Vatican na kupokelewa kwa shangwe na Papa.
CHEKI MWENYEWE…..


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic