October 18, 2014



Ndanda FC leo imeonja utamu wa kufungwa nyumbani baada ya kuchapwa mabao 3-1 na  Ruvu Shooting.
Ndanda imefungwa mabao hayo ikiwa kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona mjini Mtwara.

Mabao ya Ruvu yalifungwa na Juma Ndeule, Abrahman Mussa na Thomas Matayo.

 Mjini Morogoro, Polisi Moro na Mtibwa Sugar zimemaliza dakika 90 bila ya kufungana.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic