October 16, 2014


Yanga imeendelea na mazoezi leo kwenye Uwanja wa maveterani wa Boko kujiandaa na mechi dhidi ya watani wake, Simba.

Yanga imefanya mazoezi mara mbili, asubuhi na jioni.
Kawaida imekuwa ikifanya mazoezi mara mbili kwa siku kama ilivyoendelea leo.
Wachezaji wa Yanga walionekana kuwa na furaha na kabla ya kuanza mazungumza walifanya mazungumza na Kocha wao, Marcio Maximo.
Baada ya hapo wakaanza mazoezi mepesi kabla ya kuendelea na ratiba nyingine.
Mechi hiyo dhidi ya watani wao inasubiriwa kwa hamu.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic