November 9, 2014


Msemaji wa Ruvu Shooting, Masau Bwire atakuwa wa kwanza kumsaidia Kocha Patrick Phiri kubeba mageni yake leo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

“Nilishasema tokea awali, mzee wetu Phiri abebe mabegi yake kabisa awe nayo Taifa pale. Nitamsaidia kuyabeba, nikifita Taifa nitaangalia yalipo ili nimsaidie,” alisema Masau ambaye ni kati ya wasemaji wachache wanaokubalika sana na wadau wa soka nchini.

Tayari Masau ameishamtaka Phiri aende na mabegi yake ili akitoka ende zake Uwanja wa Ndege kwa safari ya kwao Zambia.
Hata hivyo, tayari Simba wameishakanusha  kwamba walimpa kocha huyo mechi mbili.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic