January 24, 2015


Mchezaji bora wa dunia, Cristiano Ronaldo amelambwa kadi nyekundu ya moja kwa moja baada ya kumtwatua na kumlamba ngumi beki Jose Angel Crespo wa Cordoba.



Wakati Ronaldo anapigwa kadi hiyo dakika ya 84, timu hizo zilikuwa sare ya bao 1-1 kabla ya Gareth Bale kufunga bao la pili kwa mkwaju wa penalti katika dakika ya 89. Karim Benzema ndiye alifunga bao la kwanza.

Cordoba: Martin Corral, Gunino, Pantic, Crespo, Fraga, Rodríguez Barrera, Rossi, Bebe, Nicolas Cartabia, Ghilas, Andone (Vico Villegas 80).Subs not used: Saizar, Lopez de Silva Sánchez, Lopez Garai, Gomez Moreno, Pinillos, Agullo Sevilla.

Goal: Ghilas 3 (pen)
Booked: Rossi, Nicolas Cartabia
Sent off: Nicolas Cartabia

Real Madrid: Casillas, Carvajal, Varane, Ramos, Marcelo (Fabio Coentrao 72), Khedira (Illarramendi 64), Kroos, Rodríguez (Jese 80), Bale, Benzema, Ronaldo. Subs not used: Navas, Hernandez, Arbeloa, Nacho, Jese
Goals: Benzema 27, Bale 89 (pen)
Booked: Carvajal, Ramos, Khedira
Sent off: Ronaldo
Ref: Alejandro Jose Hernandez Hernandez
Att: 21,822









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic