January 12, 2015


 Cristiano Ronaldo ndiye mshindi wa tuzo ya mwanasoka bora Ulaya na Duniani kote maarufu kama Ballon d'Or.

Ronaldo ,29, ametwaa tuzo hiyo kwa kuwabwaga mpinzani wake mkubwa Lionel Messi na kipa Manuel Neuer wa Bayern Munich.

Raia huyo wa Ureno ametwaa tuzo hiyo kwa mara ya pili mfululizo lakini ni mara yake ya tatu kwa kuwa mara ya kwanza aliibeba 2008 akiwa na Manchester United.

Mwaka jana, Ronaldo akiwa na Real Madrid aliiwezesha kutwaa ubingwa wa Ulaya, Copa del Rey, Uefa Super Cup, pia ubingwa dunia huku yeye akifunga mabao 56 katika mechi 51.
AKIGONGA SELFIE NA MATA...

BABU BLATTER AKIMKABIDHI MZIGO...



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic