January 6, 2015


Mshambuliaji mpya wa Atletico Madrid amesema ana nafasi ya kurudi upya na kung’ara akiwa na timu yake hiyo ya nyumbani.


Tayari amerejea Atletico na kutambulishwa kwa mashabiki ambao wamempokea kwa wingi.

“Nitarudi kwa kuwa niko nyumbani tena, najiona kama ndiyo naanza.

“Nina uhakika mambo yataenda vizuri na nitaweza kucheza katika kiwango kizuri zaidi,” alisema.

Torres amerejea Madrid akitokea AC Milan ambayo imemnunua kutoka Chelsea.


Alifanya vizuri Liverpool akiwa na Liverpool, lakini baadaye akaanza kudorora baada ya kutua Chelsea.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic