Kocha
Joseph Omog, amemrudisha Frank Domayo katika kikosi cha kwanza ikiwa ni baada
ya kukaa nje kwa muda mrefu.
Kwa
Mujibu wa Azam FC, Domayo amepewa nafasi ya kuanza katika 11 wa kwanza katika
kikosi cha Azam FC leo wakati watakapokuwa wakiivaa Mtende Rangers katika mechi
ya mwisho ya makundi katika michuano ya Kombe la Mapinduzi.
Domayo
maarufu kama ‘Chumvi’ alijiunga na Azam FC akitokea Yanga. Lakini hakupata muda
wa kucheza kutokana na kuandamwa na majeraha. Hali iliyosababisha Azam FC
kumsafirisha nchini Afrika Kusini kwa matibabu.
Kikosi
cha Azam FC kitakachoanza leo dhidi ya Mtende Rangers, hiki hapa;
1.
AISHI MANULA
2. ERASTO NYONI
3. GADIEL MICHAEL
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. MUDATHIR YAHYA
7. HIMIDI MAO
8. FRANK DOMAYO
9. JOHN BOCCO
10. KELVIN FRIDAY
11. BRIAN MAJWEGA
2. ERASTO NYONI
3. GADIEL MICHAEL
4. AGGREY MORIS
5. PASCAL WAWA
6. MUDATHIR YAHYA
7. HIMIDI MAO
8. FRANK DOMAYO
9. JOHN BOCCO
10. KELVIN FRIDAY
11. BRIAN MAJWEGA








0 COMMENTS:
Post a Comment