February 9, 2015



KANE (ALIYEZUNGUSHIWA DUARA) WAKATI AKIICHEZEA TIMU YA WATOTO YA ARSENAL.


Unaweza ukashangaa lakini ndiyo maisha, kumbe yule mshambuliaji aliyeiua Arsenal wikiendi iliyopita kwa kupiga bao mbili, alipata mafunzo ya soka akiwa Arsenal.


Harry Kane wa Tottenham ambaye aliiongoza timu yake kuimaliza Arsenal katika ushindi wa mabao 2-1, akiwa na miaka nane hadi kumi alikuwa akikipiga Arsenal.


KANE (WA KWANZA KUSHOTO WALIOSIMAMA) AKIWA NA KIKOSI CHA ARSENAL.

Mwenye Kane amesema ana mapenzi ya dhati na Spurs na amesema kweli alijifunza mengi akiwa Arsenal.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic