Kocha Hans van der Pluijm ameamua kuanza na
kikosi cha washambuliaji wenye kasi zaidi katika mechi yake ya Kombe la
Shirikisho dhidi ya BDF XI ya Botswana.
Mshambuliaji wa kimataifa kutoka Liberia, Kpah Sherman, anaanzia kwenye 'ubao'.
Kikosi
hiki hapa:
Ally Mustapha, Mbuyu Twite, Oscar Joshua,
Kelvin Yondani, Nadir Haroub, Salum Telela, Simon Msuva, Haruna Niyonzima,
Amissi Tambwe, Mrisho Ngassa na Coutinho.







0 COMMENTS:
Post a Comment