March 24, 2015

 Mrembo aliyekuwa akifanya mazoezi kwenye Uwanja wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), alichangamsha mazoezi ya kikosi cha Simba kilichokuwa kikijifua.

Simba chini ya Kocha Mkuu Goran Kopunovic na msaidizi wake, Selemani Matola walikuwa wakijifua kujiandaa na Ligi Kuu Bara.
 
Mrembo huyo aliyekuwa akizunguka uwanja huo kujiweka fiti alionyesha ‘kuwachangamsha’ wachezaji wa Simba ambao muda mwingi walionekana ‘kuzunguka’ naye.

Wachezaji hao walilazimika kumuangalia kila alipokuwa akizunguka huku wengine wakitumia ujuzi wa hali ya juu kumuangalia bila ya kujulikana kama walikuwa wakimuangalia.






0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic