March 24, 2015

VENGU 
Taarifa za kufariki dunia kwa Joseph Shamba maarufu kama Vengu, zimekanushwa vikali.


Kuanzia saa 4 asubuhi kumekuwa na taarifa zinazosambaa mitandaoni kwamba Vengu wa kundi la Orijono Komedi amefariki Dunia.

Vengu ameugua kwa takribani miaka mitatu sasa hali yake ikiwa si nzuri.

Meneja wa kundi hilo, Seki David amesema si kweli kuhusiana na taarifa hizo.


“Ni habari zisizo sahihi, Vengu bado ni mgonjwa na ningependa kuwaomba wanaosambaza taarifa hizo kutofanya hivyo,” alisema Seki.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic