Mazoezi aliyokuwa akipewa
Manyika, hasa kunyooshwa na kukunjwa miguu yake huku yeye akijipinda kama
samaki iliwavutia mashabiki na wengi kuachana na kila kitu na kuanza kufuatilia.
Kipa huyo alionyesha ana mwili ulionyumbulika kimazoezi na angeweza kujinyoosha kwa aina zote alizokuwa akitaka.







0 COMMENTS:
Post a Comment