Kiungo nyota wa Orlando ya Marekani, Kaka
amesema viungo Mesut Ozil na Oscar wa Chelsea wamekuwa wakimshawishi kwenda
England.
Kaka amesema ushawishi wao wakati umvutie,
lakini wakati mwingine anavutiwa kwenda.
Lakini anasisitiza kwamba ana furaha alipo Marekani
na ataendelea kubaki hapo alipo.
Kaka amewahi kucheza kwa mafanikio makubwa katika Serie A akiwa na kikosi AC Milan na baadaye La Liga akiwa na Madrid ambako hata hivyo hakupata mafanikio makubwa.
Kaka amewahi kucheza kwa mafanikio makubwa katika Serie A akiwa na kikosi AC Milan na baadaye La Liga akiwa na Madrid ambako hata hivyo hakupata mafanikio makubwa.










0 COMMENTS:
Post a Comment