April 10, 2015

Bondia Danny Garcia aliyewahi kumtwanga Amir Khan kwa KO imebainika ana vidole sita vya mguuni.


Bondia huyo raia wa Puerto Rico hajawahi kuangishwa na kupigwa KO hali inayoelezwa kuwa anasaidiwa na mguu wake mkubwa wenye vidole sita na ‘balance’ ya kutosha.
SIKU ALIPOMKALISHA KHAN
Bingwa huyo wa Light Welterweight anayetambuliwa na WBC na WBA ana rekodi ya kucheza mapambano 29, hajapigwa hata moja na kati ya hayo 17 ameshinda kwa KO ikiwemo ile aliyomtwanga Khan.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic