May 12, 2015

Kinda la Kibrazil, Nathan ametua Chelsea na kumwaga wino kwa pauni milioni 4.5.


Kijana huyo aliyekuwa nyota katika kikosi cha Brazil chini ya miaka 19, amesaini mkataba wa kuichezea Chelsea jana Jumatatu.
Baada ya hapo akatupia kwenye mtandao wa kijamii akiwa anasaini na baadaye akipiga picha katika makao makuu ya klabu hiyo jijini London.

Kijana huyo amekuwa gumzo sana kutokana na uwezo wake mkubwa na timu kadhaa zilikuwa zikimuwania kabla ya Chelsea kumnasa.

Hata hivyo, bado Chelsea haijatoa taarifa rasmi kuhusiana na kumnasa Nathan.




0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic