May 12, 2015


Hatimaye Dan Sserunkuma ameamua kuondoka Simba baada ya kuvunja mkataba.


Sserunkuma raia wa Uganda alijiunga na Simba akitokea Gor Mahia ya Kenya lakini akashindwa kuonyesha kiwango bora kutokana na kutokuwa chaguo la kocha Goran Kopunovic.

Jana jioni, Sserunkuma ameamua kuvunja mkataba baada ua kutishia kufanya hivyo miezi miwili iliyopita.


Taarifa kutoka ndani ya uongozi wa Simba zinaeleza, Sserunkuma hakulipwa lolote, hivyo anaondoka zake kwenda kutafuta timu.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic