May 13, 2015


Aliyekuwa Meneja wa Azam FC, Jemedari Said Kazumari ameula katika Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).


Jemedari Said sasa anakuwa Ofisa Maendeleo wa TFF na atafanya zaidi kazi katika masuala ya vijana.

Mchezaji huyo wa zamani wa Kariakoo ya Lindi ametua TFF baada ya mkataba wake kwisha.
Msemaji wa TFF, Baraka Kizuguto, amethibitisha kuhusiana na Jemedari zaidi kujiunga na TFF.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic