May 13, 2015

 Mshambuliaji mpya wa Man United, Memphis Depay aliyejiunga na klabu hiyo kwa dau la pauni milioni 25 kwa mara ya kwanza amekanyaga ardhi ya England ikiwa ni mara ya kwanza tokea ajiunge na timu hiyo.

Kwa kutummia ndege ya kukodi Depay aliyetokea PSV ametua jijini London lakini kwa shughuli ya uzinduzi wa viatu vya kampuni ya Under Armour inayomdhamini.

Mshambuliaji huyo ametupia mtandaoni picha hizo akijivunia mambo yalivyokwenda wakati wa uzinduzi huo.



0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic