May 13, 2015

  
Bondia nyota duniani, Manny Pacquiao amerejea kwao Ufilipino ikiwa ni siku chache baada ya kufanyiwa upasuaji katika bega lake nchini Marekani.

Manny alipokelewa na mashabiki na watu mbalimbali katika jiji na Manila.
Huku mkono wake ukiwa umefungwa, lakini bado alionekana ni mwenye furaha muda wote.

Bondia na mwanasiasa huyo, aliambulia kipigo kwa pointi dhidi ya bondia asiyepigika Floyd Mayweather.

Hata hivyo, Mayweather amekuwa akimshutumu Manny kwa kusema kwamba alipigana akiwa mgonjwa.









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic