May 18, 2015

Cristiano Ronaldo amepiga hat trick wakati Real Madrid ikiitwanga Espanyol kwa mabao 4-1 katika mechi ya La Liga.


Ingawa ushindi huo haujaiwezesha Real Madrid kuizuia Barcelona kuchukua ubingwa wa La Liga lakini Ronaldo sasa anashika nafasi ya pili kwa wapachikaji mabao wa Real Madrid kwa kipindi chote.

1. Raul                             323 (741 mechi)
2. Cristiano Ronaldo      310 (299)
3. Alfredo di Stefano     307 (396)
4. Carlos Santillana        290 (645)
5. Ferenc Puskas            242 (262)








0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic