Simba wameamua kuusubiri
ripoti hiyo ili kupata uhakika wa nini kinachotakiwa kufanya mabadiliko.
Kikosi cha Kopunovic raia
wa Serbia kimemaliza kikiwa katika nafasi ya tatu.
Nafasi hiyo inaifanya Simba
kupoteza nafasi ya kushiriki tena katika michuano ya kimataifa.
“Baada ya ripoti ya
Kopunovic, basi ataikabidhi ripoti kwa uongozi na mchakato utaanza,” alisema
Haji Manara, msemaji wa Simba.
Simba imepania kufanya
mabadiliko katika kikosi chake ili kujihakikishia kubeba ubingwa ambao imeukosa
kwa misimu mitatu sasa.







0 COMMENTS:
Post a Comment