June 14, 2015

Baadhi ya wachezaji wa Manchester United, Wayne Rooney, Angel di Maria, Antonio Valencia na Michael Carrick wametengeneza tangazo la kinywaji cha Aperol Spritz kwa kushirikiana na magwiji wa klabu hiyo.


Magwiji hao ni Andy Cole na Dwight Yorke ambao walionekana kama wahudumu wa baa.

Rooney na wenzake walikuwa kama wateja, hiyo imeonyesha timu za Tanzania Bara pia zinaweza kusaka matangazo ya vinywaji na wachezaji wake wakashiriki.







0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic