OSCAR JOSHUA AKIMUANGALIA MSHAMBULIAJI MOHAMMED SALAH AKIMALIZIA KUFUNGA BAO LA TATU DHIDI YA TAIFA STARS KATIKA MECHI DHIDI YA MISRI ILIYOISHA KWA STARS KULALA KWA MABAO 3-0 IKIWA NI KUWANIA KUCHEZA AFCON. ANGALIA PICHA NYINGINE...
Mimi bado na Taifa stars tu.. Hivi kikosi cha timu ya taifa huwa kinateuliwa na nani, ni kocha au ni TFF? Kama ni kocha, hv kwel kocha anaweza kumjumuisha Oscar Joshua, John Boko na Erasto Nyoni kwenye kikosi cha timu ya Taifa? Kwa kweli TFF hii mnatutia kichefuchefu kabisaa maana mmeshindwa kufikia hata 1/8 ya mafanikio hafifu ya Tenga. Hopeless kabisa..!!!
Mimi bado na Taifa stars tu..
ReplyDeleteHivi kikosi cha timu ya taifa huwa kinateuliwa na nani, ni kocha au ni TFF?
Kama ni kocha, hv kwel kocha anaweza kumjumuisha Oscar Joshua, John Boko na Erasto Nyoni kwenye kikosi cha timu ya Taifa? Kwa kweli TFF hii mnatutia kichefuchefu kabisaa maana mmeshindwa kufikia hata 1/8 ya mafanikio hafifu ya Tenga. Hopeless kabisa..!!!