June 16, 2015

Wamiliki na wafanyakazi wa Global Publishers, leo wameuaga mwili wa Robert Tilya, mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo.


Robert alikuwa mmoja wa wadau wa michezo kwa kuwa alizunguka sehemu mbalimbali za michezo akiwa na waandishi wa gazeti namba moja la michezo nchini la Championi.

Alifariki wiki iliyopita katika ajali ya gari iliyotokea External jijini Dar es Salaam.

Mwili wake umesafirishwa kwao mkoani Kilimanjaro kwa mazishi.

Mwenyezi Mungu ampunguzie adhabu za kaburi. Ampumzishe kwa amani.
















0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic