June 16, 2015


Umeona namna JKT ilivyopania kujiimarisha zaidi katika msimu ujao wa Ligi Kuu Bara.

Makamu Mwenyekiti wake, Meja Hassan Mabena ameonyesha wazi hawataki mchezo baada ya kumnasa mshambuliaji wa Mbeya City, Saad Kipanga.

JKT imemnasa Kipanga na hivi karibuni alisaini mkataba wa miaka miwili kuichezea JKT.

MejaMabena kwa kushirikiana na katibu wa JKT, Ramadhani Madoweka wamekuwa wakiendesha zoezi la usajili.


Wamesema lengo ni kujiimarisha kwa ajili ya msimu ujao na hawajaishia hapo, wanaendelea kusajili vifaa zaidi.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic