June 17, 2015

  
Yanga imeendelea na mazoezi kwenye Uwanja wa Karume jijini Dar es Salaam kujiandaa na michuano ya Kombe la Kagame.


Chini ya Mholanzi, Mart Nooij anayesaidiwa na Charles Boniface Mkwasa, Yanga wamejifua kwa mazoezi mepesi.

Baadaye wakauchezea mpira kwa kontroo kabla “hakijagawanywa” na “kupigwa” kama mechi.

Yanga ndiyo imekuwa timu ya kwanza kuingia kambini kuanza kujiandaa na msimu ujao.









0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic