July 20, 2015

ADEBAYOR NA SHERWOOD...Aston Villa imeanza mazungumzo na Tottenham ili ikiwezekana imsajili mshambuliaji kutoka Togo, Emmanuel Adebayor.

Villa inamtaka Adebayor kwa ajili ya kuziba pengo la Christian Benteke ambaye leo, rasmi anatarajia kutua Liverpool
 
BENTEKEKocha wa zamani wa Spurs, Tim Sherwood ambaye sasa anainoa Villa ndiye amependekeza mshambuliaji huyo mwenye miaka 31 kujiunga na Villa.


Hata hivyo, inaonekana kutakuwa na mjadala mkubwa katika suala la mshahara wake wa pauni 100,000 kwa wiki ambao anaendelea kulipwa na Spurs ingawa imekuwa hamtumii sana.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic