July 29, 2015

SURE BOY
Azam FC inaingia uwanjani leo kupambana na Yanga katika mchezo war obo fainali ya Kombe la Kagame bila ya wachezaji wake wawili muhimu.

Azam FC itawakosa nahodha msaidizi, Salum Abubakar ‘Sure Boy’ na beki wake kiraka, Erasto Nyoni.

Hall alisema katika mchezo huo, anaweza kuwakosa wachezaji wawili nyota wa kikosi chake ambao ni beki Erasto Nyoni na kiungo Salum Aboubakar ‘Sure Boy’.


“Nitawakosa wachezaji wawili, Nyoni ambaye ana kadi mbili za njano na Sure Boy ambaye ni majeruhi wa enka, lakini nina wachezaji wengi ambao nitawatumia kuweza kupambana,” alisema Hall.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic