July 16, 2015

WACHEZAJI WA CHELSEA WAKIONGOZWA NA DIEGO COSTA WAKIWA KWENYE UZI WAO MPYA NA WADHAMINI WAPYA WATENEGENEZA MATAIRI YA YOKOHAMA.


Kwa hapa nyumbani, Kampuni maarufu ya kuuza matairi ya magari ni ile ya Bin Slum ambayo inazidhamini timu za Mbeya City, Stand United na Ndanda FC.

Sasa Chelsea nayo itavaa jezi zenye nembo ya wauza matairi ambao ni Yokohama.

Yokohama iliyoanzishwa mwaka 1917 ambayo asili yake nchini Japan imesaini mkataba wa pauni milioni 40 na Chelsea.

Kampuni hiyo imesambaa dunia nzima na maarufu kwa uuzaji wa matairi.




 

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic