Hamisi Kiiza ‘Diego’
ametua jijini Dar es Salaam tayari kuanza kazi na Simba.
Kiiza aliyekuwa
mshambuliaji tegemeo wa Yanga amesema amekuja kumaliza na Simba na mara moja
kuanza kazi.
Lakini akasisitiza kwamba
masuala ya Yanga yaachwe, maana yamepita.
“Nimekuja kufanya kazi na
mwajiri wangu mpya, yale ya Yanga yamepita,” alisema Kiiza.
Kiiza aliongozana na mshambuliaji mwingine Simon Sserunkuma raia wa Uganda pia.
KIIZA AKIWA NA SSERUNKUMA |
0 COMMENTS:
Post a Comment