July 18, 2015


Mechi ya ufunguzi wa Kombe la Kagame kati ya Yanga dhidi ya Gor Mahia ni mapumziko.


Timu hizo zinakwenda mapumziko baada ya Yanga kutangulia kupata bao baada ya beki wa Gor kujifunga lakini wakasawazisha kupitia Harun Shakava katika dakika ya 16.


Yanga wanacheza wakiwa pungufu baada ya mshambuliaji wake Mzimbabwe, Donald Ngoma kulambwa kadi mbili za njano zilizozaa nyekundu na akatolewa nje katika dakika ya 24.

0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic