July 17, 2015

MISHETTO...

Mtanzania Charles Mishetto amecheza mechi yake ya kwanza akiwa na timu yake ya Rabestein FC ya nchini Ujerumani.

Mishetto aliyewahi kuichezea Stand United ya Shinyanga, amecheza mechi hiyo kwa dakika 60.

“Ilikuwa mechi na timu kutoka maeneo yetu hapa, imeisha kwa sare ya bila bao lakini ilikuwa ngumu na nzuri.

“Ni mechi ya kirafiki ikiwa ni katika njia ya maandalizi ya ligi,” alisema Mishetto.


0 COMMENTS:

Post a Comment

TwitterFacebookGoogle PlusLinkedInRSS FeedEmail

GONGA HAPA KWENDA AZAM TV

B2.jpg
Image and video hosting by TinyPic